SERMONS

KARIBU KWENYE UKURASA HUU UPATE MAFUNDISHO MBALI MBALI YA NENO LA MUNGU

SOMO

Mutakabali wa Maisha Yajayo
Mafundisho ya Uongo
      Utabadilika na kuwa kiumbe kingine- Kama Nyani,nguruwe .k .n kutegemea na maisha unayoishi sasa.
     Kifo ni Mwisho wa Kila kitu
     Wote watakuwa peponi
       Wengine wanakwenda purgatory  waweza kukaa huko miaka kadhaa,maombezi ya watu na watakatifu wa zamani yatakutoa huko
      Biblia inathibitisha katika maandiko mbalimbali kwamba baada ya maisha haya yako maisha ya Milele
     Yesu alikwenda Mbinguni- Mdo 1
      Anaandaa Makao ya Milele
     Luke 16:19-31- Lazaro na Tajiri
                 Maisha yao: Tajiri na Lazaro
The Rich Man
      He never cared about others
      He was a proud man because of his richness and success
      He had a luxurious life
      He never had the fear of God
      He never believed  that there is life after death
      He worshiped money/riches and not God
      Selfish
      He loved animals than people
Mtu Masikini (Lazaro)
      Alikuwa masikini,hakuwa na uwezo
      Alikuwa akiomba omba
      Mbwa walilamba vidonda  vyake – Hakupata dawa/vidonda visivyopona

      Kifo kiliwajia wote ( All will die)
      Hatima  yao ikawa dhahiri kwa kila mmoja baada ya Kufa ( Sekunde chache baada ya kufa utajua ukweli uliokataa lakini utakuwa umechelewa)
      Maombi ya Tajiri
      Majibu ya Ibrahimu
      Nataka Nikuulize swali hili leo
      ‘’utakuwa wapi baada ya Maisha haya?’’
      Mungu hajakuandikia upotee milele
      Upendo wake kwako.
      Mpokee Yesu Leo.
Pastor Lucky Yona
TAG-Arusha Christian Worship Centre

SOMO

Unalilia nini?  Mwamini Mungu

Bahari ya Shamu

  Mungu ataikausha bahari ya shamu iliyo mbele ya maisha yako ( Kutoka 14: 10-15)
   Baada ya Utumwa wa miaka 430
   Hawakuwa na ujuzi wa Vita wala silaha
  Hawakupewa mafunzo ya Vita kabla ya safari
Mtumaini Bwana, Usilie
  Usilie kwa sababu
 1. Bwana ndiye atulindaye na kutupigania kinyume na maadui zetu ( Isaya 54:  15-17), I Pet 1.5 ‘’ Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu hata mpate wokovu ......)
2. Bwan ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu ( Zab 23:1)
   Yeye ndiye mtoshelezji wa mahitaji yetu yote
  Ndiye atupaye ajira na nguvu za kufanya biashara
  3. Bwana ndiye atupatiaye uzao ( Uzao watoka kwa Bwana, muumbaji na mzalishaji)
  4.Bwana ndiye atupatiaye ufahamu na akili ( Kolosai 2:3)
  5.Bwana ndiye alindaye uzao wetu ( Hatuwezi kuwalinda siku zote /wakati wote – Timo rescue
6. Bwana ndiye atupaye nguvu ya kufanikiwa na kupata utajiri – Yeye ni urithi wetu – Usilinie kwa sababu huna urithi
7. Bwana ndiye atuponyae magonjwa yetu ( Isaya 53)
  Siku za uhai wake ( Matayo 8-9)
  Wenye pepo
  Wenye ukoma waliponywa
  Vipofu waliona
  Mama mwenye ugonjwa wa kutoka damu aliponywa
  Yesu hajabadilika – Yeye ni yeye yule jana leo na hata milele
  Ametupa mamlaka, tu mabalozi wake
8. Bwana ndiye anayesamehe dhambi na kuokoa roho yako, anaweza kufuta jina lako katika kitabu cha hukumu, kuandika jina lako katika kitabu cha uzima


SOMO:VITA VYETU

1.    Dunia

      Msiipende Dunia,  wala mambo yaliyomo duniani, kwa sababu kila kilichomo duniani yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi havitokani na Baba, bali dunia, na dunia inapita  pamoja na Dunia

2.    Mwili

      Enendeni kwa Roho wala hamtazitimiza kamwe tamaa za Mwili. Kwa sababu Mwili hushindana na Roho, na Roho hushindana na Mwili wala hamwezi kufanya mnayotaka
     Nia ya Mwili ni Uadui juu ya Mungu
    Wale waufatao mwili hawawezi kamwe kumpendeza Mungu
    Kwa sababu mkinenenda kwa kufuata mambo ya mwili mwataka kufa lakini mkienenda kwa Roho Mtaishi
      Mambo ya Mwili ( Gal 5: 19-)
      Nia ya Mwili/Matakwa ya Mwili
      Mapenzi ya Mwili
      Mwisho wa Mwili ( Nyama na Damu haviwezi kumuona Mungu)
      Udanganyifu wa Mwili
      Udhaifu wa Mwili

3.    Shetani

      Vaeni silaha zote za Mungu ili muweze kushindana. Kwa maan kushindana kwetu sisi si juu ya Damu na Nyama bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa Anga na majeshi ya Pepo wabaya
      Baba wa uongo
      Ngazi za Utendaji wake

4.    Nafsi

      Mtu yeyote asiyeichukia nafsi yake hafai kuwa mwanafunzi wangu
      Chembe ya Ngano isipoanguka ikafa hukaa hali hiyo hiyo, ila ikifa huzaa.
    Yeye aipendaye nafsi yake ataingamiza,naye aingamizaye nafsi yake ataiona.
    Moyo ni Mdanganyifu
    Mawazo na Fikira
    Hisia
      Nia ya Nafsi
5.    Watu
      Kama Mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake,mama yake, ndugu zake na hata nafsi yake hafai kuwa mwanafunzi wangu
      Jihadharini na wanadamu
Pesa
      Msiwe watu wa kupenda fedha , kwa sababu Fedha ni shina la Mabaya
Pastor Lucky Yona 
TAG-ACWC 

SOMO:Maombi

Kwa nini kuomba ni Muhimu

ž Je Mungu hajui mahitaji Yetu?

¡  Mungu anataka kuona kama tunamtegemea/Kimbilio letu/Msaada wetu
¡  Kushirikiana naye/Kuwasiliana naye
¡  Maombi ni kupumua kwa Mkristo 

Kadhi Dhalimu Luka 18: 1-7-

ž Hakuwa Mtu mwema/Dhalimu
ž Mwanamke yule hakumkatia tamaa
ž Alimgangania hata akampatia haki yake
ž Mungu wetu si dhalimu, yeye atatupatia haja zetu
ž Hatupaswi kukata tamaa
ž Kukata tamaa ni dhambi

Mambo muhimu ya kuzingatia katika maombi

1. Yesu Kristo ni kiunganishi katika maombi
         ( I tim 2:5)
2. Maombi hubadili jinsi Mungu anavyotenda/Mwitikio wake
¢ 2 Nyakati 7: 14
3. Usipoomba haupati ( Yak 4:2)
4. Tuombe katika jina la Yesu 
            ( Yohana 14:13-14)
            (Yohana 16:23-24)
5. Kuomba kwa Imani ( Marko 11:24), Maana ya Imani  ( Ebr 11:1), Eliya – Yak 5:13, Kama  mtu amepungukiwa na hekima( Yak 1:5-8)
                        Imani haikatishwi tamaa na kitu chochote, haikomi kuomba
6. Kuomba sawasawa na mapenzi yake ( 1 Yoh 5:14-15)
7. Kuomba kwa bidii ( Eliya – Yak 5:17)
8. Umgonjee Bwana katika maombi yako ( Zab 38:15)
9.   Kuomba peke yako ( Mt 6:6)
10. Omba na Wengine ( Mt 18: 19-20)
11. Kufunga na Maombi (Mt 6:16)
 

Angalizo

ž Ukiacha kuomba imani hukoma/hufa
ž Ukiacha kuomba utaingingia majaribuni
ž Ukiacha kuomba utakata tamaa
ž Ukiacha kuomba unayakaribisha mashetani yafanye makao kwako
ž Ukiacha kuomba utakuwa mkrito dhaifu/Legelege/
ž Ukiacha kuomba unakuwa mtu wa kuonewa na mashetani

Jumapili 08 july 2012

Na Mchungaji Anania MtunduSomo:Kumtegemea Mungu.

Waeffeso 4:11, Yeremia 17:5-7
Amelaaniwa mtu yule amtegemeae mwnadamu
Hatutakiwi kumtegemea mtu kwani kila mwandamu ana mwisho yake na kuna mambo mengi yanayomshinda nwanadamu.Uweza wa Mungu hauna mwisho wala kikomo ndio sababu tunatkiwa tumtegemee yeye pekee.
  'Kumtegemea Mungu ni kuonesha kuwa unamfahamu na unamheshimu'
Yesu ni Simba wa kabila la Yuda,hakuna simba mwingine aliye mkuu zaidi yake.Ukimtegemea Mungu kutakufanya ufanye mambo makubwa kuliko watu watakavyotegemea.fedha,Dhahabu na vyote viijazanyo nchi ni mali ya Bwana kwa hiyo mwabie Mungu wetu aliye na kila kitu naye atakupatia hitaji lako.
Mambo ya kufanya katika kumtegemea Mungu

  1. Kumfuata Yesu na Kumtumikia  Yoh 12:26
  1. Kumcha Mungu Mith 8:13
  1. Fuata maelekezo ya Mungu 2Yoh 1:6
  1. Uwe Mtumishi wa Mungu
  1. Shikamana na Bwana Kumb 13:4
Amen.

No comments:

Post a Comment