Sunday, July 22, 2012

Mutakabali wa Maisha Yajayo



Mafundisho ya Uongo
      Utabadilika na kuwa kiumbe kingine- Kama Nyani,nguruwe .k .n kutegemea na maisha unayoishi sasa.
     Kifo ni Mwisho wa Kila kitu
     Wote watakuwa peponi
       Wengine wanakwenda purgatory  waweza kukaa huko miaka kadhaa,maombezi ya watu na watakatifu wa zamani yatakutoa huko
      Biblia inathibitisha katika maandiko mbalimbali kwamba baada ya maisha haya yako maisha ya Milele
     Yesu alikwenda Mbinguni- Mdo 1
      Anaandaa Makao ya Milele
     Luke 16:19-31- Lazaro na Tajiri
                 Maisha yao: Tajiri na Lazaro
The Rich Man
      He never cared about others
      He was a proud man because of his richness and success
      He had a luxurious life
      He never had the fear of God
      He never believed  that there is life after death
      He worshiped money/riches and not God
      Selfish
      He loved animals than people
Mtu Masikini (Lazaro)
      Alikuwa masikini,hakuwa na uwezo
      Alikuwa akiomba omba
      Mbwa walilamba vidonda  vyake – Hakupata dawa/vidonda visivyopona

      Kifo kiliwajia wote ( All will die)
      Hatima  yao ikawa dhahiri kwa kila mmoja baada ya Kufa ( Sekunde chache baada ya kufa utajua ukweli uliokataa lakini utakuwa umechelewa)
      Maombi ya Tajiri
      Majibu ya Ibrahimu
      Nataka Nikuulize swali hili leo
      ‘’utakuwa wapi baada ya Maisha haya?’’
      Mungu hajakuandikia upotee milele
      Upendo wake kwako.
      Mpokee Yesu Leo.
Pastor Lucky Yona
TAG-Arusha Christian Worship Centre

Sunday, July 15, 2012

Neno la Mungu:Kupambanua na Kuyatofautisha mafundisho ya Kweli na Uongo

    SIKU ZA MWISHO
    Maonyo ya Biblia juu ya Mafundisho ya Uongo na Manabii wa Uongo{ Mt 24: 24, Mt 24:11, 1 Tim 4:1
    }

    Mtaifahamu kweli, na kweli itawaweka huru
    Mafundisho Ya Msingi ya Kweli ya Mungu
    ü Yesu Kristo alifufuka kutoka kwa wafu ( Luke 24:36,39
    ü Wokovu ni kipawa cha Mungu kipatikanacho kwa njia ya Imani katika Kristo pekee ( Efeso 2:8-9, Galatia 2:16)
    ü Yesu Kristo Atarudi tena ( Mdo 1:11, Ufunuo 1:7)
    Mafundisho ya Uongo
        *            Uongo halisi ulipotosha kweli ya Mungu/Mafundisho yanayokanusha kweli
        *            Uongo unatafasiri neno la Mungu Kinyume na maana yake
        *            Mafundisho yaliyo kinyume na kweli ya neno la Mungu
        *            Uongo ulichanganya na sehemu ya kweli iletayo upotevu
        *            Yaliyojengwa juu ya Mtu
    Kuelewa mafundisho ya Uongo
    Ɂ     Hakuna utatu mtakatifu
    Ɂ     Yesu kristo si Mungu/Hakuzaliwa na Mwanamke
    Ɂ     Biblia si neno la Mungu au Biblia ina Mapungufu inahitaji mafunuo mengine ambayo mtu amefunuliwa ( Mfano Vitabu vya Jehova, Agano la Mormons)
    Ɂ     Ubatizo ni kwa jina la Yesu pekee
    Ɂ     Hakuna jehanamu wala Mbingu 
    Ɂ     Hakuna dhambi ( Wote wamefanya dhambi)
    Ɂ     Wokovu hupatikana kwa njia ya Matendo
    Ɂ     Yesu kristo hatarudi/ alikwisha kurudi
    Ɂ     Njia ya kwenda mbinguni si nyembamba
    Ɂ     Mungu ni mwenye huruma sana hawezi kumpeleka mtu jehanamu

    Kwa nini wakristo wanapaswa kujihadhari(2 Kor 11: 3-4)
    v Yesu Mwingine, Roho Nyingine, Injili Nyingine
    v Mafundisho ya Uongo hubadili maana ya maneno ya Mungu kuwa kitu kingine/hupotosha/kukutoa katika njia
    v Roho Mtakatifu kwa Mormon- Female spirit, Mother Spirit
    v Roho Mtakatifu- Jehovah sio nafsi ya Mungu,bali nguvu fulani
    v Ondoleo la Dhambi kwa njia ya Damu ya Yesu Kristo-Mormon- Mtu inabidi amwage damu yake ili apate ondoleo la dhambi
    Yesu Kristo ni nani katika mafundisho ya uongo (Few)
    *            Ni nabii Bahaullah- Bahai
    *            Christian Science- Wazo – Divine Idea
    *            Freemasons- sio Mungu, - Kwao Jao-bul-on ni mungu
    *            Jehovah Witness- Michael malaika mkuu,kiumbe cha kwanza kwa Mungu, alikuja kama mtu , akafa akafufuka kama roho isiyoonekana, alirudi kiroho 1914 ili kuongoza .

    Jiponye Nafsi yako na Mafundisho ya Uongo  
    ü Kila neno ulisikialo ni lazima kulipima katika neno la Mungu 

    ü Jifunze kweli, tafakari kweli,jihadhari

Monday, July 9, 2012

WATU WALIOMKIRI YESU WABATIZWA

Mkutano wa injili uliofanyika katika viwanja vya Ebenezer Retreat Lodge mwez Juni ulizaa Matunda Kwani zaidi ya watu 20 walimkiri Yesu Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.
Jumapili ya jana tarehe 08 July watu hao walipata kubatizwa kwa maji Mengi
kama ilivyoandikwa katika BIBLIA TAKATIFU.Mchungaji Anania Mtundu ambaye ndiye aliyewabatiza watu hao amenukuu andiko kama ilivoandikwa katika Mathayo 3:13-17.
Ubatizo huo ulifanyika katika ziwa Duluti mkoani Arusha.
Hizi ni baadhi ya Picha za matukio ya Ubatizo huo
Pichani ni Mr Noel Katongo(kushoto) na Mchungaji Anania Mtundu(kulia) baada ya ibada jumapili jana
Mchungaji Kiongozi Lucky Yona na Mke wake

           Mchungaji Anania akiongoza pambio baada ya kufika eneo la kubatizia ziwa Duluti
                                        Mchungaji akimbatiza mshirika kwenye Maji mengi